BASATA YAIFUNGIA NYIMBO YA NEY HII HAPA
muimbaji huyo wa muziki wa bongo freva ney wa mitego inasadikika kuwa nyimbo yake mpya aliyotoa hivi karibuni imefungiwa na basata kuhusiana na kuto kuwa na ujumbe mzuri kwa jamii na pia ina leta picha mbaya nyimbo hiyo ijulikanayo kama "pale kati"
Post a Comment