Picha ya Omran Daqdees mwenye miaka mitano ambayo alionekana akiwa na vumbi na damu baada ya nyumba yao huko Aleppo Syria kuharibiwa katika mlipuko, picha hiyo iliwashtua wengi duniani mwezi uliopita ikiwa ni pamoja na mvulana aitwaye Alex, ambaye anaishi Scarsdale, New York. Alex imembidi amwandikie barua President Obama ikiwa na mstari unaosema ‘atakuwa mwanafamilia mwenzetu na atakuwa kaka yetu’
Baada ya kupokea barua hiyo Rais Obama ameishare video kwenye ukurasa wake wa facebook yenye barua hiyo na kuandika hivi…………
Post a Comment