Unknown Unknown Author
Title: Cristiano Ronaldo Amnyoosha Messi Kwa Kuingiza Mkwanja Mrefu
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mpambano kati ya wachezaji Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kwenye utawala wa soka duniani umeendelea kuzunguka baina ya vigezo tofauti kw...
Mpambano kati ya wachezaji Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kwenye utawala wa soka duniani umeendelea kuzunguka baina ya vigezo tofauti kwa takribani miaka 10 sasa.
Na baada ya kushinda tuzo ya mchezaji bora duniani pamoja na tuzo ya Ballon D’Or kwa mwaka jana, Cristiano Ronaldo ameendelea kuwa na mwaka bora wa mafanikio dhidi ya mwenzake.
Ronaldo ametajwa kuwa ni mchezaji aliyeingiza fedha nyingi zaidi duniani na jarida laFrance Football, huku  Messi akiwa katika nafasi ya pili kwa msimu wa 2016-17.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top