Mpambano kati ya wachezaji Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kwenye utawala wa soka duniani umeendelea kuzunguka baina ya vigezo tofauti kwa takribani miaka 10 sasa.
Na baada ya kushinda tuzo ya mchezaji bora duniani pamoja na tuzo ya Ballon D’Or kwa mwaka jana, Cristiano Ronaldo ameendelea kuwa na mwaka bora wa mafanikio dhidi ya mwenzake.
Post a Comment