Timu ya soka ya Lyon ya nchini Ufaransa imekataa ofa ya euro mil 35 (paundi 29.3m) kutoka kwa klabu ya Arsenal kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wao Mfaransa Alexandre Lacazette.
Lacazette (25) alifunga mabao 21 kwenye mechi za ligi 34 msimu uliopita na bado ana mkataba na timu hiyo mpaka mwaka 2019.
Post a Comment