MANCHESTER CITY YAKARIBIA KUMSAIN JOHN STONE
miamba hao wa timu ya manchester city chini ya kocha wao pep guardiola wamekalibia kufanikiwa dili la kijana mdogo alietamba misimu ilio pita ya 2015/2016 kwa ada ya £50m kama wakiitaji saini ya kijana huyo mwenye umri wa miaka 22
Post a Comment