Headlines za mashule kuungua zimeendelea na leo September 26 2016 shule ya sekondariMkolani iliyopo Nyegezi Mwanza imeungua moto, na chanzo kinachosemekama kuwa ni itilafu ya umeme, taarifa imetolewa kuwa hakuna madhara makubwa yaliotokea zaidi ya vitu vya wanafunzi kuungua moto.
Nakusogezea picha za tukio hilo unaweza kuzitazama hapa chini.
Post a Comment