Muigizaji Brad pitt aliyekuwa mume wa Angelina Jolie alikuwa na kesi iliyokuwa ikimkabili tangu September 2016 baada ya kusemekana alipishana maneno na mtoto wake wa miaka 15, Maddox mpaka kufika hatua ya kumpiga.
Baada ya tukio hilo Brad amekuwa akifanyiwa uchunguzi mpaka Nov 9 2016 ambapo mahakama jijini Carlifonia imeamua kumfutia mashtaka hayo kwa kile kilichoelezwa kuwa amegundulika kuwa hana hatia.
Post a Comment